Kwa Picha: Kuvumisha mavazi ya stara Dar es Salaam

Siku chache tu kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhani baadhi ya Wanawake wa kiislam nchini Tanzania wameungana na kuaandaa tamasha maalum kuhamasisha ujasiriamali na uvaaji stara kwa njia za kisasa zaidi.