Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kijana wa Rwanda aliyetajirika kupitia Facebook
Wakati watu wengi hutumia mitandao ya kijamii kwa kupiga soga na jamaa na marafiki zao,wengine hujaribu bahati zao kimaisha kwa kutumia mitandao hiyo.
Nchini Rwanda, kijana mmoja Hassan Habiyambere anasema kwamba ujumbe mmoja tu katika Facebook ulimfungulia milango ya utajiri.
Sasa ni miongoni mwa wajasiriamali wenye uwezo wa kutoa ajira kwa watu wengine.
Alizungumza na Yves Bucyana.