Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Shule ya Kaya Tiwi inavyovuma katika mpira wa kikapu Kenya
Shule ya upili ya Kaya Tiwi iliyoko pwani ya Kenya inazidi kuvuma katika mpira wa kikapu upande wa wasichana.
Kwa sasa Kaya Tiwi ni bingwa wa Afrika Mashariki na Kati, na bingwa mara mbili wa michezo ya kitaifa nchini Kenya.
Wachezaji hao wanamimina pongezi zao kwa mkuu wa shule hiyo Robert Aran na kocha Philip Onyano.
John Nene amewatembelea shuleni pwani ya Kenya, na kuandaa taarifa hii.