Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Masaibu ya kuzaliwa na jinsia mbili Kenya
Mamilioni ya watoto wanaozaliwa na jinsia mbili nchini Kenya wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kuishi na jamii inayowazunguka.
Wanakumbana na ubaguzi,unyanyasaji na hata pengine kuuawa.
Mwandishi wa BBC wa masuala ya afya Anne Soy amempata moja ya waliowahi kujificha kukwepa kuuawa kutokana na kuwa na jinsia mbili.