Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wanawake watakaoendesha treni za kisasa Kenya
Taifa la Kenya limekuwa likiendelea na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa unatarajiwa kurahisisha safari za abiria na mizigo.
Safari ya kwanza ya treni inatarajiwa kufanyika mwezi ujao.
Kwa sasa, maafisa wamekuwa wakifanyia majaribio safari za treni pamoja na kuwapa mafunzo madereva wataoendesha treni hizo.
Kinyume na awali, wakati huu kuna wanawake ambao wamekuwa wakiwavutia watu wanapopokea mafunzo.
Abdinoor Aden na maelezo zaidi.