Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mzee aliyeishi miaka 146 afariki dunia Indonesia
Raia wa Indonesia ambaye alidai kwamba alikuwa na umri wa miaka 146 – binadamu aliyeishi muda mrefu zaidi duniani – amefariki dunia kijijini mwake Java ya Kati.
Kwa mujibu wa stakabadhi alizokuwa nazo, Sodimedjo, aliyefahamika pia kama Mbah Ghoto (babu Ghoto), alizaliwa Desemba 1870.
Haya ni mahojiano yake na BBC alipokuwa na miaka 145 mwezi Septemba mwaka 2016.