Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wanawake wanavyokumbana na unyanyasaji masokoni Dar
Mbali na jitihada zinazofanywa na wanawake barani Afrika kujikomboa kiuchumi lakini bado wanakumbana na unyanyasaji na udhalilishaji katika maeneo yao ya biashara, kwa mujibu wa taasisi ya Equality for Growth asilimia 90 ya wanawake wafanyao kazi katika masoko nchini tanzania wanakumbana na unyanyasaji, ikiwemo lugha za matusi.
Mwandishi wetu kutoka Dar es salaam Munira Hussein ametembelea masoko kadhaa na kuandaa taarifa ifuatayo..