Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Vituko vya mbuzi wa Tanzania
Wahenga walisema ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni , nchini Tanzania wapo mbuzi ambao wamekuwa kivutio kwa matendo yao ya ajabu na kuvuta hisia za wapita njia.
Mwandishi wa BBC Humphrey Mgonja alivutiwa na matendo yao, na hivyo kuamua kukuletea taarifa hii