Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Bei ya nyanya sasa haishikiki Tanzania
Nchini Tanzania,gharama ya bidhaa ya chakula imeonekana kupanda kwa kasi wiki hii huku nyanya ikionekana kupanda zaidi sokoni..Lakini nini sababu ya ongezeko hilo la bei?
Mwandishi wa BBC,Esther Namuhisa anatuarifu;