Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kama Mtanzania, unajikinga vipi dhidi ya homa ya ini?
Ripoti ya shirika la afya duniani inautaja ukanda wa Kusini mwa jangwa la Sahara, ikiwemo Tanzania kuwa eneo hatari zaidi kwa ugonjwa wa homa ya Ini.
Unachukua tahadhari gani za kutosha kujikinga na ugonjwa huo wa homa ya ini?