Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Muziki wa utamaduni DR Congo wavuma
Licha ya DRC kuwa na wanamuziki wengi wa kiwango, muziki wa asili umezidi kupata umaarufu nchini humo.
Hivi sasa sherehe kubwa kubwa hata zikiwamo za serikali huwatumia wale wanaocheza muziki wa asili.
Bendi Milingita yenye makao yake makuu katika mji wa baraka tarafa ya fizi mkoa wa Kivu ya kusini mashariki mwa Congo ni miongoni mwa bendi za asili zinazoshamiri hivi sasa.
Byobe Malenga alisafiri hadi eneo hilo akahudhuria mazoezi ya bendi hiyo