Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tetemeko Tanganyika: 'Lilikuwa tetemeko la kutisha'
Tetemeko limetokea katika mwambao wa Ziwa Tanganyika, na kuleta mshtuko kwa baadhi ya raia wa eneo la Rukwa nchini Tanzania.
Tumezungumza na Philipo Siulapwa mwandishi wa habari ambaye anayeishi eneo hilo ambaye anasimulia yaliyotokea.