Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamke mvuvi mahiri Mwanza, Tanzania
Shughuli za uvuvi wa samaki hufanywa na wanaume, kutokana na mazingira ya kazi hiyo kuwa ni ya usiku na ya kwenye maji.
Lakini kaskazini magharibi mwa Tanzania, katika mkoa wa Mwanza, kisiwa cha Ukara mtazamo huo umekuwa tofauti kwa Bi Experansia Nagabona ambaye yeye mwenyewe ni mvuvi.
Alizungumza na Mwandishi wa BBC Esther Namuhisa.