Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tanzania: Kisiwa cha Uokozi katika ziwa Nyasa
Ajali za majini katika Ziwa Nyasa kusini mwa Tanzania zimekuwa zikitokea mara kwa mara kutokana mitumbwi ambayo haikidhi viwango vya usalama majini.
Wavuvi wengi hunusurika kwa kuogelea hadi kwenye kisiwa kimoja katika ziwa hilo ambacho kimejipatia jina Kisiwa cha Uokozi.
Sikiliza ripoti ya Maximiliana Mtenga amezungumza na baadhi ya wavuvi walionusurika kifo kwa kukimbilia kisiwa hicho.