Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Watumia nywele kutengeza mito Tanzania
Kisicho na thamini kwako kwa mwenzio huenda kikawa ni dhahabu.
Mkoani Morogoro nchini Tanzania nywele na rasta zilizotumika zimegeuka dhahabu, huokotwa na kutengenezwa mito ya kulalia.
Mwandishi wa BBC Humphrey Mgonja akutana na baadhi ya watu wanaofanya kazi hiyo na kutuandalia taarifa ifuatayo: