Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uganda yajenga kituo kikubwa cha umeme wa jua Afrika mashariki
Uganda imejenga mtambo mkubwa wa kutoa umeme kwa mwanga wa jua wenye thamani ya mamilioni ya dola. Mradi huu, ambao umewekwa katika mji wa Soroti, Mashariki mwa nchi hiyo unasemekana kuwa ndio mkubwa kuliko yote katika ukanda wa Afrika Mashariki. Sammy Awami ameutembelea mtambo huo na kutuandalia taarifa hii.