Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wagonjwa wanavyoteseka kutokana na mgomo wa madaktari Kenya
Ni zaidi ya mwezi mmoja sasa tangu madaktari nchini Kenya walipoanza kususia kazi, na hamna dalili za suluhu kupatikana.
Muungano wa madaktari umekataa kujadili tena makubaliano baina yake na serikali, ambapo walitunukiwa nyongeza ya asilimia mia tatu ya mshahara kando na maafikiano mengine ya kuboresha afya.
Mwandishi wetu Ferdinand Omondi alitembelea Hospitali Kuu la Eneo la Pwani, Mombasana kuandaa taarifa hii.