Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Usalama: Pikipiki mpya za polisi Uganda zazua mjadala
Jeshi la Polisi la Uganda limeanza mwaka mpya wa 2017 na ari, nguvu na kasi mpya ya kulinda Waganda na mali yao dhidi ya majambazi pamoja na magaidi.
Jeshi limepata vifaa vipya vya kutumia katika kazi hiyo. Hata hivyo baadhi ya raia wanaona vifaa hivyo havifai na vimepitwa na wakati.
Pikipiki inayodaiwa ni muundo wa kizamani ndiyo inayowapa wananchi wasiwasi.
Mwandishi wetu Siraj Kalyango na taarifa zaidi.