Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wasichana watoroka kukeketwa eneo la Pokot, magharibi mwa Kenya
Maeneo kadhaa ya mashambani nchini Kenya, mamia ya wasichana wametoroka makwao ili kukwepa kukeketwa na kukimbilia vituo maalum vya kuwalinda. Mwandishi wa BBC Robert Kiptoo ametembelea eneo la Pokot magharibi ambapo utamaduni wa kuwakeketa wasichana umekolea.