Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Malaika na miungu ni wa rangi gani?
Mtengenezaji filamu raia wa Kenya Jim Chuchu ameandaa maonesho ya kipekee aliyoyapa jina The Bones Remember (Mifupa Kumbuka).
Anawataka Waafrika kutafakari zaidi kuhusu dini, na kubaini nafasi yao ni gani hasa baada ya kuachana na dini na tamaduni zao za awali.
Anataka kazi yake kuwahamasisha Waafrika kujiuliza: Je, sisi tuko wapi katika imani? Na je, miungu wetu wana rangi gani?