Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mahangaiko ya wagonjwa Kenya kutokana na mgomo madaktari
Wakati mgomo wa wahudumu wa afya nchini kenya ukiingia siku ya nne, wagonjwa nchini humo wamelazimika kutumia huduma za hospitali binafsi na zile zinazoendeshwa na mashirika yasiyo ya kiserekali.
Mwandishi wetu Bashkas Jugsodaay ametembelea hospitali ya shirika lisilo la kiserekali la Simaho eneo la Garissa, kaskazini mashariki mwa Kenya kujionea hali ilivyo.