Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Hospitali ya kipekee inayowahudumia punda Lamu, Kenya
Kuna hospitali ya kuwatibu punda ambayo ni ya kipekee mjini Lamu, pwani ya Kenya.
Hospitali hiyo ilianzishwa mwaka wa 1987, na mwakani itatimiza miaka 30 ya huduma zake kwa punda hao.
John Nene ametuandalia ripoti hii.