Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mashua ya uvuvi wa mbali iliyoundiwa Kenya yaanza kazi Mombasa
Serikali ya Kaunti ya Mombasa imezindua mashua ya kwanza ya uvuvi wa mbali baharini iliyoundwa nchini Kenya.
Mashua hiyo yenye thamani ya dola laki mbili inatarjiwa kuwawezesha wavuvi kuvua kiasi cha tani elfu arobaini kila mwezi.
Mwandishi wetu Ferdinand Omondi alikuwa kwenye uzinduzi kuelewa umuhimu wa mashua hii kwa hali ya wavuvi Mombasa.