Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamke aliyeacha ulevi baada ya miaka mingi Kenya
Idadi ya wanawake wanaotumia pombe inazidi kuongezeka nchini Kenya. Patricia Gachuki ni mmoja wao lakini hatimaye aliamua kuiacha na kuingilia ukulima. John Nene ametuandalia ripoti hii baada ya kuzungumza naye akiwa kwenye shamba lake mtaa wa Shela, kisiwa cha Lamu.