Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamke mweusi aliyekabili polisi Marekani
Mwezi Julai, Ieshia Evans, alishiriki maandamano ya Black Lives Matter Baton Rouge, Louisiana.
Mwanamume mmoja aliposema hawakufaa kuwa barabarani wakiandamana, alimjibu: "Tuko hapa tufanye nini?"
Picha yake akiwa amesimama bila kuonekana kubabaika mbele ya maafisa wa polisi ilisambaa sana duniani. "Naipenda picha hiyo, kuna nguvu za mwanamke hapo, nguvu za mtu mweusi,” anasema.
"Wanaume wetu weusi wanaweza kujua malkia wao wanasimama nao - hawajaachwa peke."