Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wanaume walalamika wanawake wamewazidi Rwanda
Suala la usawa wa jinsia limegawanya familia nyingi upande wa magharibi mwa Rwanda.
Wanaume wanalalamika kuwa masharti ya usawa wa jinsia yanawapendelea sana wanawake na kuwafanya kudharau waume zao.
wanawake wao wanasema wanaume hugadhabishwa na kuwa sheria haiwaruhusu tena kutumia mali ya nyumbani watakavyo kama ilivyokuwa awali.
Mwandishi wa BBC Yves Bucyana ameandaa taarifa ifuatayo.