Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Zuhura: Kufyatua risasi si mchezo
Mjadala kuhusu haki ya kumiliki bunduki nchini Marekani ni moja ya mambo yanayojadiliwa sana kwenye kampeni za uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 8 Novemba.
Mgombea wa Republican Donald Trump anateteta haki ya raia kumiliki risasi lakini mpinzani wake wa Democratic Hillary Clinton anasema lazima kuwe na masharti.
Mwandishi wa BBC Zuhura Yunus yupo Marekani na amejionea uhalisia wa kuwa na bunduki.