Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwezi mmoja baada ya tetemeko la Kagera hali ikoje?
Ni takribani mwezi mmoja sasa, tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi mkoani Kagera kaskazini Magharibi mwa Tanzania, ambapo ujenzi wa makazi mapya kwa wahanga wa tukio hilo na maeneo ya taasisi unaendelea. Sammy Awami ametembelea mji wa Bukoba.