Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Masaibu ya mtoto aliyezaliwa na jinsia mbili Tanzania
Mtoto anapozaliwa katika jamii yoyote inakuwa ni ishara ya furaha. Hata hivyo, furaha hiyo inaweza kutoweka iwapo mtoto huyo atazaliwa akiwa na tatizo hasa la kiafya, kama ilivyokuwa kwa Asha, kutoka mjini Lushoto mkoani Tanga baada ya kubaini mtoto aliyemzaa ana jinsia mbili. Aboubakar Famau na taarifa zaidi: