Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Siri ya Mzee Senga na Mzee Pembe kufanikiwa Tanzania
Sanaa ya uchekeshaji Afrika Mashariki inazidi kukua, ambapo wachekeshaji wanaochipukia wamepata mafanikio makubwa na kuweza kusafiri maeneo mbali mbali Duniani sababu ya vijapi vyao. Lakini ni akina nani walitengeneza msingi huo?
Kwa Tanzania, Ulimboka Mwalulesa almaarufu kama Mzee Senga na Yusufu Kaimu yaani Mzee Pembe ni wachekeshaji waliodumu kwa miaka mingi hadi sasa na bado wanaendelea.
Mwandishi wa BBC Arnold Kayanda amezungumza nao kupata mtazamo wao kuhusiana na fani hii.