Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tume: Uchaguzi hauwezi kufanyika mwaka huu DR Congo
Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesisitiza kwamba haiwezekani kufanya uchaguzi nchini humo mwaka huu kama ilivyoelezwa kwenye katiba.
Mchakato wa kufanyika kwa uchaguzi ulitarajiwa kuanza leo lakini tume hiyo imesema hilo haliwezekani na badala yake inataka uchaguzi ufanyike mwaka ujao.
Makundi ya upinzani yamepanga maandamano leo kupinga kuandaliwa kwa kalenda mpya ya uchaguzi.
Mwandishi wa BBC Mbelechi Msochi anaarifu zaidi.