Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Juhudi za kuokoa utamaduni wa Kiswahili Tanzania
Mdau wa Kiswahili Abdulatif Omar, ambaye ni mkazi wa mjini Tanga, ni mmoja wa watu waliojitolea kusaidia kuokoa tamaduni za Kiswahili ambazo zinakabiliwa na hatari ya kupotea.
Anasimulia mwandishi wa BBC Aboubakar Famau jinsi alivyoguswa na kupotea kwa baadhi ya tamaduni hiz, na ni hatua gani yeye na wenzake wanachukua.