Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Waathiriwa wa tetemeko Kagera, Tanzania waomba msaada
Waathiriwa wa tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera kaskazini mwa Tanzania Jumamosi wanaomba msaada ili kurejea kwenye hali zao kama ilivyokuwa awali.
Watu 16 walifariki kutokana na tetemeko hilo na mamia wengine wamebaki bila makao.
Mwandishi wa BBC John Solombi alizungumza na baadhi yao.