Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Utafiti: Kiingereza hutatiza sana wanafunzi Tanzania
Nchini Tanzania taasisi ya utafiti wa masuala ya elimu Twaweza imetoa ripoti yake inayoonesha kuwa asilimia 44 ya wanafunzi wanaomaliza shule za msingi nchini Tanzania hawajui kusoma vitabu vya Kiingereza vya darasa la pili.
Hata hivyo kwa mujibu wa utafiti huo, asilimia 16 wamebainika kuwa nao hawawezi kusoma vitabu vya Kiswahili vya darasa la pili.
Kutoka Dar es Salaam Mwandishi Munira Hussein ametuandalia taarifa ifuatayo.