Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kwa Picha: Msisimko mji wa Dodoma
Rais John Magufuli ametangaza nia ya kukamilisha safari ya kuhamishia makao makuu ya serikali mkoani Dodoma, safari iliyoanza miaka 42 iliyopita.