Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kijiji ambacho wanaume wengi ni makapera China
Wanaume wengi katika kijiji cha Laoya, mkoa wa Anhui mashariki mwa Uchina wamekosa wanawake wa kuoa. Kijiji hicho sasa hujulikana sana kwa utani kama ‘Kijiji cha Makapera’.