Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Muziki wa singeli washika kasi nchini Tanzania
Muziki hubadilika na kuja na vionjo tofauti, hivi sasa nchini Tanzania wapo na singeli, aina ya muziki unatokana na mchanganyiko wa ladha mbalimbali kama taarab, bongofleva, mnanda na mchiriku. Je aina hiyo ya muziki itapotea au ndio mapinduzi mapya ya burudani nchini humo?
Hii hapa ni taarifa ya Munira Hussein.