Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Msafiri Zawose, kijana anayeenzi muziki wa asili Tanzania
Upigaji wa ala za muziki wa asili kama Marimba, Zeze na Filimbi umepungua kwa kiasi kikubwa kwa vijana wa kisasa waliotumbukia katika muziki wa kisasa wenye mahadhi ya kimagharibi.
Lakini hilo ni tofauti kwa msanii Msafiri Zawose wa Tanzania ambaye ameendelea na utamaduni wa asili wa kutumia vifaa hivyo.
Msanii huyo amezungumza na Mwandishi wetu Omary Mkambara