Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Roboti inayowashughulikia wagonjwa wa corona Nigeria
Wanafunzi kutoka shule ya Kimataifa ya Glisten huko Abuja Nigeria,wameanzisha teknolojia inayoitwa Mairobot, kuzuia wahudumu wa afya nchini humo kuambukizwa virusi vya corona.Teknolojia hiyo inatumia roboti kushughulikia wagonjwa wa Corona. Je ? unadhani mataifa mengine yanafaa kuiga mfano huu? sema nasi BBCSwahili.