Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamuziki wa Marekani aegemea chama cha democrats
Mwanamuziki Taylor Swift atampigia kura Joe Biden katika uchaguzi mkuu nchini Marekani unaotarajiwa kufanyika Novemba 3.
Hapo jana Jumatano, nyota huyo,mwenye miaka 30, alitangaza kuunga mkono chama cha democrats kufuatia ujumbe aliouandika kwenye ukurasa wake wa twitter.Ametamba na kibao blank space.