Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Je, unanawa mikono yako mara ngapi kwa siku?
Kuosha mikono yako angalau marasita au kumi kwa siku kunaweza kukuepusha kupata maambukizi mengi ikiwemo corona. Hii ni kulingana na utafiti uliofanywa na watafiti wa Uingereza walioelezea kuwa virusi vya corona vinamalizwa na maji na sabuni.. Je unaosha mikono yako mara ngapi kwa siku? Sema nasi kwenye ukurasa wa Facebook, BBCSwahili.