Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Aondolewa marukufu ya kuendesha kwa sababu ya kazi anayofanya
Dereva mmoja aliyekuwa anaendesha gari kwa kasi amesamehewa makosa hayo baada ya kugundulika kuwa alikuwa akitengezea wagonjwa wa saratani nywele bandia za kubandika. Phillip Mungeam, kutoka, Monmouthshire, alikubali makosa yake… Je, ni sawa kwa korti kumsamehe bwana Mungeam? Sema nasi kwenye ukurasa wetu wa facebook..bbcswahili