Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mchuano baina ya Lakers na L A Clippers waahirishwa
Wasimamizi wa mchezo wa vikapu nchini Marekani wameahirisha mechi ya La Clippers kufuatia kifo cha aliyekuwa mchezaji wao Kobe Bryant. Mechi hiyo ilikuwa imepangwa kufanyika leo baina ya Los Angeles Lakers' na washindani wao wa jadi LA Clippers.