Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Waziri wa Japan awa wa kwanza kuchukua likizo ya uzazi
Waziri wa Mazingira wa Japan Shinjiro Koizumi amesema anatumai kuchukua likizo kwa wiki mbili baada ya mtoto wake kuzaliwa na jambo hili limezua gumzo kote nchini humo. Hii ni kwa sababu ni mara ya kwanza mwanamme anachukua likizo kwa sababu ya kupata mtoto. Je, baba mtoto pia anahitaji likizo baada ya mkewe kujifungua mtoto?