Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamziki wa Rap Jay-Z anawashtaki maafisa wa gereza
Mwanamziki wa Rap Jay-Z amesema anachukua hatua za kisheria dhidi ya maafisa wa gereza kwa niaba ya wafungwa 29 ambao wamesema maisha yao yako hatarini. Nyota huyo anachukua hatua hiyo kwa kile anachokiitaja kuwa kuhatarisha maisha ya wafungwa wa gereza la Mississippi kwa sababu ya wafanyikazi wachache.