Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Watawa nchini Sri Lanka hawatambuliwi na serikali
Sri- Lanka ambapo ni makazi ya watawa wa kibudha wanaofahamika kama 'Bhikkunis' walio na watoto wa chini ya miaka 6 hubaguliwa. Watawa hao hawatambuliki na serikali nchini humo huku wakikatazwa vyeti vya utambulisho jambo ambalo limewazuia kuondoka nchini humo au hata kujiunga na vyuo vikuu.