Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Je, chimbuko la binadamu wote ni Bostwana?
Wanasayansi wamesema makao ya binadamu wote walio hai yako kusini mwa mto Zambezi huko Bostwana. Eneo hilo kwa sasa limejaa chumvi. Inasemekana mababu zetu waliishi huko kwa miaka elfu 70 hadi pale hali ya anga ilipobadilika.
Je, unaamini kuwa mababu zetu walitoka Botswana?
Tujadiliane kwenye Facebook BBCSwahili.com