Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jeshi linalotoa ulinzi kwa familia ya kifahari kuanza kufuga ndevu
Jeshi maalum la kifahari linalohusika na safari za anga wataruhisiwa kukuza ndevu zao chini ya sheria mpya inayolenga kuwatofautisha na wanajeshi wengine. Sheria hiyo mpya itaanza kutekelezwa rasmi tarehe 1 mwezi wa Septemba lakini ndevu hizo zinastahili kunyolewa kwa ustadi na kuwa safi wakati wote.
Je,ni haki kwa kitengo kimoja kupewa fursa hiyo?
Tujadiliane kwenye Facebook BBCSwahili.com