Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
'Rubani aliwasha taa wakati tunaokoa watu tukaambiwa ndege inaweza kulipuka'- shuhuda
'Rubani aliwasha taa wakati tunaokoa watu tukaambiwa ndege inaweza kulipuka'- shuhuda
Mmoja wa waokoaji anasema shughuli ya kuokoaji ilisitishwa baada ya waokoaji kuingiwa na hofu ndege ya shirika la Precision Air iliyoanguka kwenye Ziwa Victoria nchini Tanzania inaweza kulipuka.
William Ruta, mkazi wa Bukoba ni miongoni mwa mashuhuda waliohusika katika zoezi la uokoaji.