Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
'Nitafanya nini sasa wanangu wamesombwa mbali?'
'Nitafanya nini sasa wanangu wamesombwa mbali?'
Grishon Waiganjo amepoteza watoto wawili katika mafuriko ya hivi karibuni nchini Kenya ambayo yamesababisha maeneo mengi ya nchi kujaa maji na sasa anakabiliana kuzoea hali ya sasa
Mamia ya watu sasa wanafahamika kuwa wamefariki, huku wengine 200,000 wakiathirwa pakubwa na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kufuatia mvua kubwa iliyonyesha kwa kipindi cha wiki mbili mfulurizo.
Video na Anne Okumu